Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Atembelea Nyumba za Maafa Nungwi.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Hemed Suleiman akiwa katika ziara ya kukagua maendeleo ya Ujenzi wa nyumba za Wananchi waliokumbwa na Maafa  zinazojengwa Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja.

 

akimkumbusha Mkandarasi wa Ujenzi wa Nyumba Hizo Mhandisi  Ernest Mbangula kuhakikisha Mradi huo unakamilika katika muda uliopangwa kwa mujibu wa Mkataba.

One thought on “Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe Hemed Suleiman Atembelea Nyumba za Maafa Nungwi.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

X